humu ndani wakati mwingine watu mnaongea kero tupu,jamani tuwaacheni hawa jamaaa wafanye mambo yao na sisi tujenge chama chetu mana vinginevyo kila siku utakuwa tunawazungumzia ccm tu.
namkubali sana Tundu Lissu lakini siyo kwamba hakuna kama yeye kwenye bunge kwa upande wa sheria,fact ni kwamba actions za Tundu Lissu ziko ki-Advocate zaidi,kwa sisi tunaofanya kazi mahakamani tunanjua jinsi maadvocate wanavoact so as to convice the mass,ila majaji siku zote wanatumia upeo...
hakuna tofauti wa haya mnayoyaongea na yale yanayoaandikwa kwenye magazeti ya ijumaa na uwazi plus kiu,mods hizi hoja za kimbea muwe mnazihamishia kwenye page ya umbea.
Bora muongelee humuhumu mana mkiongea hadharani,mi ntakuwa wa kwanza kuwapiga mawe,wasemeni wengine lakini siyo Nyerere,huu ni usenge,Nyerere alipigania hii nchi,huwezi kumtukana kwa sababu ya maslahi yako,Lowassa ni mwizi kuliko wezi wote Tz hata yeye mwenyewe analitambua hilo,acha kumtukana...
Hizo ni hisia tu mkubwa,UVCCM hawawezi kuiua kwasasa kwasababu juhudi zote hizo wanazozifanya ni za kuahkikisha kuwa vijana wanafurahishwa kwani mizee imeshakula mnooooo,sasa hawawezi kufanya tena hilo kosa kwa kuiua uvccm,wanajua moto wake na ndo maana Milya peke yake kawaendesha,afterall UVCCM...
kasalimu amri,Lowassa for 2015 apende asipende.:A S 465::juggle::smash::photo::shock::eyebrows::canada::A S-coffee::nerd::rant::director::ballchain::washing::hatari::photo::shock:
Ngeleja na Malima ni lazima waondoke ila la zaidi ya yote Luhanjo naye inabidi asimame rumande kama akina mramba,walijua watakuwa wakuu forever,mwisho wao umefika,wameniudhi hadi natamani kulia,kumamae zao.
Mbona hamjielewi mara akaongee na wasomi,wanaharakati mara ooh anahoja gani,ina maana mnampangia Rais nini cha kufanya? Mmeajiriwa lini Ikulu?
Kuna tofauti kubwa kati ya Rais kuongea na watu wenye busara zao kuliko kuongea na waropokaji kama wa JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.