Good thought, inaitaji mchanganuo wa kutosha ili viwekwe pamoja,ila nahisi tatizo ni itikadi ndio issue hapo daaaa, nahisi tuwe tu na principles za kuongoza na kutawala inchi hata akija mwafrika wa kijani kutawala ikulu, si unayaona ya USA na China!nahisi tufanye hivyo haraka sana
Wadau
Hayo ndiyo mambo ya Libya, someni afu mtafakari jinsi hii dunia ilivyo na UN yenye wenyewe (Americans and British aka World Bank na International Monetary Fund,)
Lazima viongozi wa Afrika wapate kigugumizi kwa hili swala ni gumu kwao, ndo maana mpaka leo TZ hawajatoa tamko lolote aidha...
Inisikitisha sijui kwanini vijana tusifanye maamuzi magumu naona ka twaongea sana toka hii forum hii ianze 2006 ni miaka 5, inabidi tutende na kuyafanyia kazi haraka tunayoyateta hapa kila siku, ebu tuamke au ndoo bado tupo utozi wa kujisifu kujua kutumia mafacebook, matwitter na jamii forum...
as far as the position which he holds and his performances fullfill value for money object, i think hakuna tabu tu hapo, ebu jiulize ujira wa President wetu ni ngapi na una fulffill value for money object as per his performances, je ka wewe ungekuwa mkaguzi si ungetoa ripoti ya cheti kichafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.