Search results

  1. Pota

    Chama asamehewa na Uongozi wa Simba Sc

    Ndivo ilivyo mchezaji unapokuwa na jina kuliko timu... Lazma wakupigie nagoti
  2. Pota

    Kwanini seriksli inakataza kupiga picha yeyote pale Kigongongo ferry/ Magufuli bridge? Wanaficha nini?

    Wanazuia kwa sabab za kiusalama... Ikitokea mmevamiwa na adui anafaham. Geogrohy ya Hapo ni rahis kukuzid maarifa... Ni Sawa na sehem za kambi za jeshi huwez piha picha.. Au sehem zenye vinu vya umeme
  3. Pota

    Ukweli usemwe hata kama unauma, Upinzani wa Tanzania unanitia mashaka

    Anzisha upibzan wako ambao utakuwa imara
  4. Pota

    Natafuta mpenzi (KE)

    Umesoma Mpka chuo una degree... Huna exposure Mpka uanze kuoa wanawake wa kugoogle? Si utumie jamaa zako kukutafutia By the way hapo ukipata ujue kafata Hilo duka la simu ka kweli unalo
  5. Pota

    TANESCO: Mita za umeme za zamani mwisho kutumika tarehe 25 Oktoba 2023

    Sasa kama mita Ina units bado unafanyaje?
  6. Pota

    Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

    Hicho kibubu ulitenge eza mwenyewe? Kama ulinunua pole.. Mchawi wako ni mtengenezaji.. Hao watu wakitengeneza huwa wananuwia.. So ukiweka hela ni kama umempa chuma ulete.. Inashauriwa utengemeze mwenyewe
  7. Pota

    Mwamba aliewaliza Wazungu kwa Mgodi feki wa Dhahabu Geita

    So walipofukia hapa kuwa Pana onesha kuwa pamelimwa? Au huko ni mhanga tu kama jangwani?
  8. Pota

    Mungu kwanini asingeumba watu jamii moja, dini moja kama tunavyoishi kwenye dunia moja?

    Njoo tanga uone mskti wa barabara ya 4 nan wanaswali.. Ni full wahindi... Hakuna ngoz nyrus
  9. Pota

    Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

    Mtoa uzi Ana shida.... Kukosa mbn ni jambo la kawaida.... Hata kiswahikibwatuvtunachapia.. Nn cha ajabu hapo? Au hiyo chuo kikuu? Ulikosa kwenda udsm wew ndo maana inakutesa
  10. Pota

    Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

    Watu wanatumia Sana jf Sema wanatumia fake ID ili awe huru kuchangia... Hapa sio fb kuwa Kuna kutafuta marafiki au kuchat hovyo hovyo...
  11. Pota

    PM Majaliwa: Serikali ya Rais Samia Imetoa Zaidi ya Shilingi Bilioni 208 Kujenga Shule Mpya za Sekondari 184 Nchi Nzima

    Kujenga madarasa bila kuajili Walimu wa kutosha hayo ni mahandaki ya kutengeneza mazezeta
  12. Pota

    Selection ya kidato cha tano kuna mengi ya kujifunza

    Selection inafata Selform alijazaje.. Tusiilaumu serkali.. Mm Kuna mwanafunz alipata 1.7 but hakuchagua kwenda f5... Alijaza kwenda chuo kwa ajili ya certificate na alienda... Na hakujaza kibahat mbaya.... So tusikariri kuwa ukipata dv1 lazima uende f5. Ni uchaguzi wa mtu
  13. Pota

    Serikal haina dini lakini hiyo siyo sababu kwamba isisaidie Makanisa au Misikiti, Geita Serikal ilisaidia Kanisa Katoliki!

    Imelipa fadhila kwa kuwa serkali imetaifisha taasisi nyingi Za wakatoliki
  14. Pota

    Hivi Kuna uhusiano gani Kati ya uislamu na usafi hasa kwa wanawake waislam

    Hakuna mwislam asiye Malaya.. Ndo maana wanaona leo kesho wameacha a keshokutwa wamepona kwengine..... Bora wew uwe na elf10 ya kununulia Chai na mandaz.. Unagungishwa ndoa... Ukishamtomba unamwacha.... Anakuja mwengine hvohvo...
  15. Pota

    Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

    Hivi na wale wanyama aliowahamisha wao wapi? Wale twiga? Mi nataman angeamka huko aliko a one upunafu alioufanya
  16. Pota

    TCRA fuatilieni makato ya intaneti kwenye mitandao ya simu

    Kuna siku mm Nilinunua bando kwwa kitochi. Next day ni kaweka kwenye simu nikiwa nimezima data. Kuchek bando limepungua MB kadhaa.
  17. Pota

    Serikali kuja na mwongozo wa gharama za kumuona Daktari

    Mkumaliza hapo mhamie kwa Walimu... Pia kuwe na gharama ya kumwona
  18. Pota

    Mtaalamu: Mlango wowote wa dharura hufunguliwa kwa ndani na kwa nje

    Yaan badala ya kuleta hbr ya chanzo cha ajali.. Mnachunguza nan alifungua mlango... So what
  19. Pota

    Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

    Sasa wew unasema uliiona ndege uka hukua hatua gani? Mle ndani wangepataxwapi hewa ya kuvuta? Na ilivotua na pua kukita... Unadhan haiku Pata madhara ya kuingiza maji?
  20. Pota

    Waziri Mkuu Majaliwa: Rais Samia ameagiza Wanafunzi wote wenye sifa za kupata mkopo wa Elimu ya Juu wapokelewe Vyuoni

    Hiv Kwan Hili ni jambo la Dharula? Kwa nn muanze kuvikopa vyuo.. OK wamepolekewa.. Afu chaki zitanunukiwaje
Back
Top Bottom