Walitakiwa kuahirisha maandamano wakampumzishe mgombea urais 2015.
Hata kama alihama chama hawakutakiwa kufanya maandamano haya wakati wa maombolezo kwa mawazo yangu lakini.
Majaliwa asiwe anaulizwa afya za viongozi,
Yasije kujirudia Yale Yale ya 2021 eti anachapa kazi kumbe mtu Yuko kwenye jokofu[emoji24][emoji24][emoji24]
Nafasi ya Kiongozi Mkuu wa Act haigombewi,
Kama unakitamani ni mpaka urithishwe na wa kukurithisha ni Zitto hakuna mwingine, hivyo ni vizuri uwe naye karibu Mkuu.
Ayoub hata ukimleta Kayengeyenge FC yetu nakuhakikishia hapati namba,
Yule aendelee kula mshahara wa Bure TU na kugawana na walio mleta kakini hakuna kipa pale.
Yeah,
Ni Bei ya kwenye pump, nilienda kule wakati wa kurudi nikalazimika kuongeza mafuta, nilipigwa mshangao naenda kwenye pump nakuta diesel ni 4,334 ya burundi ambayo ni sawa na Tzs 2,408 Kwa exchange rate ya Tzs 1.8.
Nilitamani kubeba Hadi kwenye makopo ukizingatia wakati wa kwenda nimeweka...
Serikali kimekuwa kikundi Cha watu wachache Kwa ajili kupora rasilimali za wananchi.
Hivi inaweza kuingia akilini eti Burundi ambapo Huwa tunaambiwa tuhamie Diesel Lita moja wanauza 2,540 wakati Kigoma diesel Lita moja inauzwa 3,700..........!
Watumishi nao Wana mioyo ya nyama na familia zinazowategemea pia mjue......!
Yaani nyie mmeuza Hadi bandari halafu mnategemea wapate uzalendo na moyo wa kazi wauokote wapi................!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.