Sisi vitendo wao maneno. Hatimaye barabara ya Kiomboi-Kisiriri- Kidaru hadi Chemichemi yaanza kupasuliwa. Naishukuru serikali kwa kunielewa na kusikia kilio cha wanakidaru ambao walikuwa hawana barabara ya kisasa mlimani na usafiri ilikuwa landrover. Sasa hata TAX ZITASHUKA KIDARU.
Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.