Wanajamii habari zenu,
Namtafutia mdogo wangu nyumba ya kupanga Mkoani Mbeya iwe maeneo ya Sae, forest Iramba au Mjini yenye iwe self contained yenye chumba cha kulala, sebule, jiko na choo iwe kwenye hali nzuri ya usafi na iwe ndani ya fence.
Naomba msaada
Tegeta ni mbali sana na nnakojenga isdoramboa maana mm nnajenga kivule yaani mbele ya kitunda njia ya gongo la mboto so nahisi nikiweka na usafiri gharama itarudi palepale kama ya mtaani
natafuta mbao kwa ajili ya kuezekea nyumba yangu 2 *2 na 4*4 pamoja na mabati ya rangi kama ya vigae ambae ana bidhaa original atume bei fasta maana niko likizo kwa ajili ya kazi hii
Unajua hii ni fursa nzuri kwetu sisi vijana tunaoanza maisha ila nina maswali kidogo
1. Kwa sisi tuliozaliwa mjini kilimo kidogo kilitupitia kando has hii horticulture je mnatoa mwongozoa au mafunzo yeyote
2. Je jumla ya gharama zote ni kiasi gani maana hapo sijaelewa. namaanisha mtu anahitajika...
sina uhakika lakini nasikia cost yake kila kitu mpaka inakuwa tayari inaweza kufika mil 4-10 inategemea na size ya nyumba hapa TZ ulizia balton wako Arusha, Dar na Iringa
Kwa kuanza ningependa uende ukapime magonjwa mbalimbali maana kuna magonjwa yanayosababisha kuongezeka kwa uzito wa mwili mfano wanawake wengi wenye PCOS wanatatizo hili na udhibiti wa uzito wao ni tofauti na wengine.
Na kama ni mzima basi Mazoezi ni jambo la kwanza kukushauri lakini ufanyaji wa...
Si ni juzi juzi tu tumeonywa TCRA kwenye vyombo vya habari kuacha kununua simu mikononi na badala yake tukanunue madukani maana inasemekana hizi za mikononi inawezekana zikawa zimetumika kwenye uhalifu. au hujui business person
na bora uwaambie halafu co hao tu yaani hapa mtaani kwetu yaani umezuka mtindo wa wanafunzi wa chuo waliopanga mitaani kutembea na vitoto vya primary yaani inakera puuu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.