Me namshangaa huyu rais wetu na Waziri wa Nishati na Madini ina maana wameshindwa kutoa tamko na likatimizwa ina maana wauza mafuta ndo wameshikilia nchi wanafanya wanavyopenda, Poor Kikwete
We nani kakudanganya wabunge pinzani hawaombi mwongozo chama tawala wakiwa wanaongea! hata kama wanalalamika lkn hiyo si style nzuri ya kuwasilisha kunyanyaswa kwao wafate utaratibu. wao ndo chanzo cha kuonekana Comedy
Me siwezi kusema niko side ya ccm or cdm cause sina chama na wanaweza kuwa ccm ndo walikuwa wanapiga kelele fine lkn the thing is kwann wabishane na spika unaambiwa kaa china unagoma, unaongea umekaa huku mic imewaka tabia gani hizo wananchi wanafurahia tu
Nasikitishwa sana na tabia wanazoonyesha wabunge wa chadema ya utovu wa nidhamu kuongea wakati spika hajaruhusu, kupiga makofi pasipo sababu, kuongea kwenye mic wakati umekaa. Mmetumwa na wananchi kwenda kuwakilisha majimbo yenu sina tutafuta majina. Watu wazima lakini Ovyoooooooooooooooooooo...
me sikubaliani na nyie kwamba 2015 nchi na ya CDM sababu magamba lazima wachakachue kama kawaida yao na sie watanzania tulivyo waoga tutaendelea kubuluzwa miaka yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.