Ni kawaida sana kwa Mtumishi anapohamishwa kituo Cha Kazi uchelewa/kutolipwa kabisa gharama za kujikimu na kubeba Mizigo kwenye halmshauri nyingi.
Mtumishi anakaa miezi 6, mwaka au zaidi bila kulipwa! Kuna mwingine alilipwa kidogo kidogo kwa miaka 5, kweli hii ni aibu na kumdumaza Mtumishi...
Vodacom mnatuboa sana sisi wateja wenu! Kila siku mnanitumia msg tuma hela Leo kwa m-pesa upate mb 2 za bure!!!! Mara ukivuta zaidi ya sh.20,000/- kutoka bank kwenda m-pesa yako utapata dk. 2 bure za maongezi!!!.
Mara ukinunua kifurushi chochote Leo utapata dk,1 bure!! Nk. Sasa haya mambo yenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.