Search results

  1. S

    nifanye nini?

    Likizo nitakuwa dsm,nitajaribu temeke na vetenary tazara.Kuhusu kuku,ndugu yangu mtaji huo upo wapi,ninjejaribu pia.!Shukrani
  2. S

    nifanye nini?

    Ndugu zangu,mimi ni mwanafuzi chuo cha mifugo,diploma in animal production.!Ninalikizo ya miezi mitatu nyumbani.!Nisaidie kama mdogo wenu nifanye nini mda wote huu wa likizo.?Nimetafuta tempo mpaka nimechoka.?Nisaidieni ndugu zanguni...!
Back
Top Bottom