Leo nimekumbuka mbali sana baada ya kuiona picha yangu nikiwa Bagamoyo Sec School 1996-1999.Nimekumbuka mengi sana moja wapo ni ubabe wa Peter Naali.Ningependa tusitajane majina,ila mmoja wetu sasa hivi ni mbunge Mh Joshua Nasari nilimpokea kama akiwa form one 1998.Kwa waliopitia miaka ya 1996...
Pengine hili halitawafurahisha wapenzi na wakereketwa wa CHADEMA,Kwani wao siku zote hutaka tuisifie tu CHADEMA hata kama inatuharibia maisha yetu baada ya kuichagua!
Nilitaraji CHADEMA itayachukulia haya majimbo yake walioshinda kama ya mfano wa kuigwa ili uchaguzi mwingine watu wavutiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.