Najua wazi kuwa wapo wachache wavivu wa kusoma, kusikiliza kwa makini na kufuatilia mambo. Hawa ndio wanaoleta fujo na kuzungumza hovyo hovyo tu kwasababu ya ujinga wao.
Hawa hufikia mahali hata kuwakashifu watumishi wa Mungu. Binafsi napenda kuwapa onyo kwamba waache hiyo tabia kwani...
Ni vyema ikaeleweka wazi kwamba mtumishi wa Mungu Askofu Zachary Kakobe, alieleza kuhusiana na kurudi kwa Tanganyika si kwa ushabiki wa kisiasa bali KIBIBLIA, na kimsingi alitoa angalizo hilo tangu mwanzo wa mahubiri kabisa. Kwa hiyo tujadili hili huku tukiwa na angalizo hilo. Ndio maana...
Nimegundua kua namwandikia mtu ambaye ni mvivu wa kusoma na kufikiri. Kwa ushauri tu, uwe unapenda kusoma na kufuatilia mambo. JF ni kwa Great thinkers pekee sio watu wajinga kama wewe.
Ndugu zangu Mungu katika mpango wake huwatumia wanadamu (i.e watumishi wake) katika kutimiza kusudi lake. Wengi tunajua juu ya habari ya Musa na wateumishi wengine wa Mungu ambao wanathibitisha ukweli wa maneno yangu.
Ukiusoma ujumbe huo kwa makini utaona hapo MTUMISHI WA MUNGU akifafanua...
Ndugu, hujui unachokizungumza. Hujui nini hata maana ya mtumishi wa Mungu, na hata nafasi yake katika jamii. Hujui hata Mungu anafanyaje kazi!!! Kaa chini jifunze kwanza, huyu unayemzungumza na kumtamka kama utakavyo ni MTUMISHI WA MUNGU. Hivyo chunga maneno yako @ chesty
Mabadiliko chanya ni hatua inayopigwa kuelekea mbele, hvyo upinzani wa vitendo na maneno ni lazima. Lets continue to fight for our ideal. Tanzania must and will change. Our hopes and aspirations are more strong than our oppositions. Thanks LEMA
Busara ni vyema ikachukua mkondo wake pindi migogoro inapotokea. Hakuna haja ya mabavu na visasi. Kwanza kabisa taarifa zote muhimu zikusanywe ili kutoa maamuzi sahihi na stahiki
Sitaki kuamini ripoti ya CAG kwanza iletwe bungeni then tutafahamu ukweli halisi wa mambo. Ilia nafikiri waliotoa tuhuma zile dhidi ya JAIRO hawakukurupuka bali walikuwa na uhakika. Pia tunataka tuone utashi wa PINDA kisiasa kwani kutokana na tuhuma zile za jairo alisema kuwa angekuwa yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.