Search results

  1. N

    Nataka kununua kampuni ya Clearing & Forwarding

    Mkuu, kama ipo na nyaraka zimekamilika tafadhali ni PM. Mrangi, nimeshaku PM contacts. Tafadhali naomba tuwasiliane.
  2. N

    Nataka kununua kampuni ya Clearing & Forwarding

    Wadau, ninatafuta kununua kampuni ya clearing and forwarding iliyokamilka. Isiwe na madhambi yeyote, fines, wala kudaiwa kodi na TRA. Iwe imefanyiwa annual filings za BRELA. Any interested party naomba tuwasiliane.
  3. N

    Nipitishie bank gani mshahara wangu ili nipate mkopo?

    Inategemea unakopa kwa ajili ya nini. Kama ni matumizi binafsi basi lazima utaumia baada, lakini kama utaweza kufanya kitu kuleta kipato kitachorejesha makato ya mkopo na kuleta kipato endelevu basi ni wazo zuri. Cha msingi ni kujua unakopa kwa ajili ya nini? Sio ilimradi upate hela tu!
  4. N

    Nipitishie bank gani mshahara wangu ili nipate mkopo?

    Inabidi mshahara upite mara ngapi benki ya posta kabla ya kuqualify kupata? Maana niliuliza Stanbi wakaniambia atleast 3 months of salary.
  5. N

    Msaada kwa mwenye uelewa wa hisa

    Utaratibu ni kwenda na kitambulisho na kujaza account opening forms. Account ikishafunguliwa unaweza kuamua kununua hisa mfano za TBL. Kama hisa moja kwa wakati huo inauzwa mfano 2,800/= kila moja na wewe unataka hisa 100 basi itacost 2,800X100= 280,000/= plus commission ya broker wako. Same...
  6. N

    Msaada kwa mwenye uelewa wa hisa

    Inabidi ufungue Central Depository Account kupitia a broker kama Tanzania Securities, Orbit, au Solomon to name a few. Unachohitaji ni kitambulisho halafu wao watanunua na kuuza hisa kwa niaba yako. Charges zao ni between 1.1%-2% ya thamani ya transaction.
  7. N

    BOT Domain is Expired

    Hata monetary & fiscal policies zao zimexpire
  8. N

    Nimeanza kufuga kwa mara ya kwanza

    Hongera kwa kuanza mahali ambapo wengi wanasita.
  9. N

    Inawezekana kupata mkopo Benki kwa kutumia Offer ya kiwanja?

    Hata ukiwa na hati, kupata mkopo inakua vigumu mpaka paendelezwe. Logic ya mabenki ni kua ardhi ni mali ya serikali ukiwa una hati unapewa "right of occupancy" kwa muda wa 33yrs, maana yake ni serikali imekukodisha ile ardhi kwa muda huo. Ni rahisi zaidi ukiweka hata kabanda.
Back
Top Bottom