Search results

  1. K

    Msaada: UTAFUTAJI WA MAISHA SUDANI

    Kama una nia ya kwenda sudan tafuta kazi un ama kwenye mashirika yaliyo chini ya un. Usitegemee kwenda na vyeti ukapata kazi kule kimsingi haziko kihivyo hata wao wana wasomi lakini hawana kazi
  2. K

    Tanzania tubadilishe Military Attache na tuweke Trade and Investment Attache

    unajua majukumu ya millitary attach?
  3. K

    Laiti wangeweza nisikia, ningewashauri ccm wasisimamishe mtu kiti cha uraisi 2015 !

    wewe kama ulizamia meli na mtoa mada ndio utaona hakuna kilichofanyika kwa miaka 50, nchi imepiga maendeleo makubwa isipokuwa tunachangamoto ya ukuaji wa miji/idadi ya watu kwa kasi si rahisi kuona maendeleo ya mtu mmoja mmoja, CCM haiwezi kufa kamwe hizo ni dua za kuku
  4. K

    Mafuta yakichimbwa Tanzania, tutajenga upya kiwanda cha kuyasafisha

    Sera ya awamu ya tatu serikali kujitoa kufanya biashara, ndio mfumuko huu wa bei za mafuta kwani serikali haiagizi tena crucial oil
  5. K

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    mie nakuunga mkono kabisa mdau, imefika wakati watanzania tujaribu kuchanganua mambo kwa mapana na marefu, tunahitaji kuwa na serikali inayojali utawala wa kisheria na demokrasia matatizo ya kiuchumi yaliyopo TZ kama utakuwa umetembea nchi nyingi za afrika bado watanzania tuna nafasi kubwa ya...
  6. K

    Kikwete mnyongeni lakini haki yake mpeni!

    ndio tatizo lenu wengi wenu humu mmekalia kubisha tu kila linalofanywa na JK huo sio u graet thinker, wakati wa Ben na awamu ya kwanza hiyo katiba unayosema haikuwepo? acheni ubabaishaji kabla ya kuropoka rejea historia
  7. K

    Kikwete hakuna kuachia ngazi

    Pamoja Mr. President hao waroho wa madaraka na wachumia matumbo yao endelea kuwabana mpaka wajifunze kutafuta vipato vya halali, kaza buti wajanja tuko nyuma yako
  8. K

    Hotuba ya Rais Kikwete kuuaga mwaka 2011

    uko sahihi kabisa mdau hapo juu wengi wetu watanzania hasa tulio nje tumekuwa watu wa kulaumu na kubeza juhudi kubwa zinazofanywa na serikali, huwezi pata picha halisi ya mambo kwa kusoma vyombo vya habari vyenye muelekeo wa kupinga pinga tu pamoja na wanasiasa wenye kiu ya urais, inshort mimi...
  9. K

    Msaada: Jinsi ya kusafirisha kifurushi (package) toka Uganda to Tanzania

    mwambie akutumie kwa Kampala Coach utaupata bila wasiwasi
  10. K

    Askofu Muuza Unga Alivyodakwa

    teh teh mlikuwa mnamuona mh Rais amekurupuka aliwachukulia staha mkaona mumpande kichwani, endelea kuwafyatua JK nakuaminia watakuelewa tu wenyewe muda si mrefu baba!
  11. K

    Kamwe kwa bunge la kamati kamati hatufiki tunajiongezea umasikini

    naungana na ww mdau hakuna haja ya kuundwa kwa kamati ni kiini macho na kujaribu kupoza hasira, hiyo kamati haitakuja na jipya la kumzidi CAG na takukuru wenye ushahidi kafungueni kesi mahakamani msimamile pesa zetu kwa kulipana posho
  12. K

    ATCL yaagiza ndege 6 mpya marekani 4 kuja kabla ya December

    heko kabisa msisahau kujipanga kuna route ya khartoum, KIA-Dar es salaam tunakosa watalii wengi sana kutoka wafanyakazi wa mission walioko sudan wanaishia kenya na KQ yao.
  13. K

    Kirefu cha ''RB''

    yah ni report book
  14. K

    Nataka kuoa Muhindi!

    duh labda uende mumbai wako wengi lakini delhi issue wengi wana vipato kama alivyokwambia mdau mmoja juu hapo
  15. K

    Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

    ngoja tusubiri maoni ya wataalam, nasubiri kwa hamu kubwa sana
  16. K

    Kwanini polisi wastaafu huwa hawapewi nafasi Serikalini?

    wanapata kama bado hawajamaliza utumishi wa serikalini kam aadadi rajabu, tibasana na wengine wengi
  17. K

    LAW SCHOOL OF TANZANIA, lini application?

    kwa january vuta subira nazani kwenye kuanzia mwezi wa 10 hivi
  18. K

    BODABODA WAZlBA BARABARA UBUNGO MATAA

    wajifunze sheria za barabarani na kupata leseni halali enyi wamiliki wa bodaboda acheni kuwapa vijana bodaboda zenu mtu anajifunza siku 2 tu anaingia barabarani
  19. K

    Tanzanias Tax Exemptions

    zifutwe tu hakuna haja ya kuwa na excemption tena wanosamehewa ni wafanyabiashara wakubwa wananchi wenye kipato kidogo wanalipa kodi ya mapato kabla hata hajaanza kufanya hiyo biashara si uonevu huo?
Back
Top Bottom