Heshima kwenu wakubwa!
Nahitaji kununua XBOX 360 controllers kama hautumii tena hata kama ni used, iwe tu inafanya kazi vizuri. Tafadhali nitumie ni-PM ahsanteni sana.
Shukrani!
HTC ONE imetumika miezi sita na iko katika hali nzuri , haina tatizo lolote. Ina kila kitu chake kwenye box kama inavyoonekana kwenye picha.
Bei ni 850,000/=
Anayeihitaji ni PM, Ahsanteni wote.
Habari zenu !!
Nauza gari TOTYOTA CARINA TI kama maelezo yake hapa chini:
CAR: TOYOTA CARINA
YEAR: 1999
KM : 38400
Transmission: AUTO
Imetummika: TZ miezi mitano tu.
Insurance: Comprehensive, expire date November 2013
Motorvehicle license : expire date November 2013
BEI: 9 MILLION...
Heshima kwa wote!!
Nahitaji nyumba ya kupanga iwe vyumba viwili vya kulala, iwe na jiko na sitting room na iwe self ndani.
Maeneo: Magomeni, Moroco ya Alhassan mwinyi, Upanga, maeneo ya victoria na ya karibu na maeneo hayo
Kodi: Budget ni 250,000/= mpaka 300,000/= kwa mwezi ( kodi miezi...
SIFA: Awe na elimu minimum form 4 + any professional cetificate
awe serious na mpole kidogo, awe mwembamba (slim) na urefu kuanzia 160cms kwenda juu.
mwenye bahati yake ambaye anameet hizo qlfcations anitumie private message hapa.
thanks 2 all wanajF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.