Alijua katiba yetu ni mbovu na hakuchukua hatua Zozote kurekebisha hilo ni moja kati ya mengi tutakayo mlaumu nayo.
Kusema bila kutenda wakati uwezo wa kutenda unao haisaidii lolote.
Mkuu kama una taka kitu kizuri usi ogope gharama. Uzuri wa Boxer/Honda kulinganisha na mchina, Honda/Boxer hazi hitaji service mara kwa mara kam Mchina.
Boxer ni Mashine hatari, mchina haoni ndani. Kuna pikipiki nyingine Nzuri kuliko Boxer, Honda Ace. Hiyo hata Boxer cha mtoto. Ni ngumu mno, imara na inanusa mafuta, hailambi. Hizi bei yake ipo sawa na boxer na spea ni ghali kama boxer ila uimara na comfortability ni zaidi y Boxer.
Nime zitumia...
hizo ni dalili za matatizo ya moyo, mkewangu anatatizo linaitwa miltralvalve prolapse na anadalili hizo lakini sikuhizi hajambo kiasi flani.
nakushaur ukaonane na dk mlawa ni senior specialist wa magonjwa ya moyo anapatikana tumaini, muhimbili, aljumaa, nyengine nimesahau lakin ye alikua...
elewa mwili wa mwanamke hauna formula maalum kwa maana kua njia hiyo ya kalenda sio mara zote ipo constant huweza kubadilika kutokana na hali ya hewa km kusafiri, stress, maradhi, dawa nk. kwahiyo usikariri kaka kwamba lazima siku za hatar zianze kwenye siku ya kumi au 11.sometimes huweza...
Kaf
Ewe kafiri elewa, kafiri sio tusi bali ni jina unalo stahili. Kafiri ni yoyote aliye kinyume na uislam, ingekuwa wewe ni muislam usinge sema kafiri ni tusu.
Silimu kwanza ndio ukatae kuitwa kafiri. Usipo Silimu utaendelea kuwa kafiri mpaka kufa kwako. MwenyeziMungu akuongoze utoke kwenye...
Hivi kuna hoja yoyote hapo???
Kuna hoja isiyo na ushahidi hata mmoja??
Katika tuhuma zote mleta mada alizo ziweka kuna ushahidi hata wa kuunga unga???
Mbona makafiri mna tapatapa sana???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.