Habari zenu wakuu madadaz na makakaz,
nimesikia uvumi nikiwa kwenye daladala nikaona bora nije kuuliza hapa jamvini,
kwa kuwa hapa ndio sehemu tunayopatia habari za nchi nzima,
nimeona bora nije kuuliza na ninajua ntapata majibu,
Inasemekana kwamba Arusha,Mwanza na Mbeya,
neno CCM...
Heshima mbele wakuu.poleni na kazi ngumu ya kusherehekea miaka 50 migumu
Kuna kitu kinanitatiza sana kichwani nadhani wenzangu mnaweza kunisaidia, nimetembelea bar nyingi kanda ya ziwa wahudumu wanaohudumia wengi ni wa kutoka ARUSHA NA SINGIDA na wanahudumia huduma zote, sasa naomba wenyeji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.