Habari zenu wakuu..
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22.. Ninaye ishi Mbeya mjini.. Elimu yangu ni diploma ya procurement and logistics.. Ila natafuta Kazi yoyote halali ya kuniingizia kipato hapa Mbeya mjini
Mawasiliano 0745468287
Asanteni[emoji120]
Ku disco mzumbe ni jambo la kawaida sana... Hata aki appeal ni ngumu sana kuchomoa kwa sababu kama ww ni wa campus ya mbeya basi mitihani yako itasahihishwa na lecture Wa Moro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.