Clouds FM mnaboa sana hasa mnapoleta habari za majumbani mwenu ktk habari muim utani na kejeri vimezidi sana hamko serious kabasa na jahazi ndo hakuna kitu mnaboa sana....kuweni makini wajameni na mpunguze sifa za kijinga lo!!!
muim ni kujua tu huyo dada alichanganyikiwa na ndomana aliweza kutamka maneno yasofaa na kumlushia cm mana kama tabia yake ni mbaya si angeiona tangu hapo nyuma si washa kaa miaka 3? hapo watakuwa walisha gombana sana ila wakaelewana so kifupi wanajua tabia huyu dada kuhamia kwa bf wake...
Hayo ndo maisha ya asilimia kubwa ya wanaume zetu hapa bongo kuwa na wanawake zaidi ya mmoja kwao imekuwa fashion wanatuchagua ka karanga yani tumekuwa bidhaa anachukua na kutest tena si kwa mala moja mpaka pale atapochoka ndo anakuja kukupa black and white bila hata uruma inasikitisha sana na...
Hata mimi ningekuwa karibu ningeshuka kwa kitendo alichofanya mdada
mwenzangu, mana kwa karne hii ya sasa mtu unatakiwa kwenda na wakati
kwa kufatilia habarii na kujichanganya na maswala ya jamii inavyokwenda ili
kujua kinacho ingia na kutoka. Mana maneno na misemo...
Asante sana Aprin,
Am not a girl but not yet a women.....niko hapo katikati so natumia (she)
asante kwa kunipenda i belive with time nami ntakupenda si unajua kinadada!!!!!!!!
nahapo juu ktk avatar ni Gorgeous mwenyewe have a nice day Asprin.
wanajukwaa hali zenu?
naimani mko poa.. mimi kama Gogreous naomba ukaribisho wenu katika hili jukwaa mashuhuri kuwa mmojawenu mana nimeona napitwa na mengi mazuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.