Kama mkatoliki, nimefedheheshwa na suala la baba askofu KILAINI kuhusishwa nayo! Hii kashfa kwa kanisa hapa Tanzania na Dunia kwa ujumla, Kardinali Pengo tupe mmaelekezo wa kwanza kwa nini Askofu ajihusishe na taratibu hizo za kifisadi! Na kwa nini benki ya kanisa ya mkombozi ihusishwe kashfa na...
Suala la mikataba hewa limeendelea kuchukua sura mpya bungeni baada ya mbunge wa Ubungo John Mnyika kuchafua hali ya hewa kwa kuitaka serikali iwasilishe bungeni mikataba ya uchimbaji wa gesi na mafuta.
Ninampongeza mh:Mnyika kwa ujasiri wa kuitaka serikali kuleta mikataba yote...
Kibiashara huduma ya m pesa kupitia mtandao wa Vodacom imetuharibia, watu wamekuwa wakihangaika kila kona ya nchi kwa Mpesa kutofanya au kusuasau kufanya kazi kwa takriban siku 3.Nafikiri hakuna haja ya advertise M Power wakati huduma mama inatusumbua.If you guys fail please tell us,ili tuhamie...
Tukiwa na mambo yetu ya ndani Zanzibar ni nchi, Tukitoka kwenye anga za kimataifa inapoteza hali ya kuwa nchi maana ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
hatujasikia kama Lowasa hatagombea tena kwa jimbo hilo,kwa hiyo bado tunasikilizia. hata hivyo siyo lazima hao, muda ukifika kuna uwezekano wa wengine kutangaza nia.
Hiyo ya Lema imenifurahisha, ni sawa hoja yake ni msingi.We sema kiwango hicho ni kubwa sana,ukilinganisha na hali halisi ya maisha ya mwanainchi wa kawida na hata uchumi wa nchi.Nchi yenyewe inadaiwa utafikiri haikusanyi kodi bwana!MP'S angalieni maslahi ya taifa,Acheni uroho. Walimu wanafanya...
Wakati ule ni zamani, sasa tunahitaji mabadiliko, nyie wenye fikra mgando msiotaka mabadiliko ndo mnatukwamisha, hao wazee wanaelewa sana tu! wanajua kuwa sasa ni muda mwafaka wa serikali tatu! mabadiliko huwa ni ya taratibu sasa tumefika muda wake!Tunaelewa vizuri sababu zenu! bahati nzuri...
Heyu kocha hana mvuto toka mwanzo, alivyooamza kandarasi yake pale Old Trafford, inaonyesha wachezaji, mashabiki na hata timu pinzani wamegundu kuwa huyu Jamaa ana uwezo mdogo! Kazi ya kocha kwenye timu kama man kubwa siyo kufundisha mpira, ni kuleta mfumo mzuri na kuwajenga wachezaji...
Not 12% ni 2% ya salary, ukiacha mambo ya muhimu yaliyoelezwa Mimi nilikuwa mwalimu nilyewahi kulalamika sana kuhusu cwt,lakini Hui no chama chenye msaada mkubwa, nilipata matatizo ya kuuguliwa nikapewa rufaa kwenda India kwa matibabu zaidi, Hawa jamaa walinisaidia sana, na ukiacha msaada wao wa...
wapo wanaume wanaoogopa kupeperusha ndege kwa kuvaa pete lakini wapo ambao huwa wanasahau tu, si unajua wakati mwingine unavua! kwa wanaume pete siyo big deal ndo maana wanasahau kuvaa ila kwa kina mama ni heshima kubwa sana zikionekana zile gold zinangaa pale mkononi tena zote mbili ya...
Mh amechoka na purukushani za siku na hawa jamaa wa usalama, hawa jamaa wanatakiwa waelewe kuwa huyu ni kiongozi wa watu na wanatakiwa kumheshimu kama hawo wengine wa ccm,shida ni chama alichopo tu, polisi wamejenga uhasama na chadema lakini kama watashindwa kusoma alama za nyakati watajikuta...
Kuna athari kathaa anayoweza kupata mwanachuo kama atakosa kufanya mazoezi(field practical).
1. kushindwa kufanya kazi kwa umakini pale anapoanza kazi kwa ugeni wa mazingira.
2. kushindwa kutoa ushirikiano mahali pa kazi.
3. Anaweza akafanya uharibifu kwa kutoelewa baadhi mambo...
Mufti aelewe kuwa watu wameanza kujua demokrasia ya kweli, kama kiongozi wa dini kazi yake ni kuwatetea badala ya kuwapotosha, namshauri afungue macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.