Nimeshangazwa sana na viongozi na waheshimiwa wabunge kupitia CCM kupinga kwa nguvu zote suala la maandamano, lakini siku za karibuni imeriotiwa kwamba katika mkutano utakao fanyika mjini Mbeya utatanguluwa na maandamano kwa madai kuwa maandamano ni haki ya mwanachi/mwanachama.
Kinachonishangaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.