Jiko janja wapo Makumbusho wanauza majiko ya induction plate moja na mbili pamoja na sufuria zake pia wanakutumia popote ulipo Tanzania.Watafute kwa namba 0684517275
Nimeijaribu kwenye Galaxy S21 FE kwa kweli kuna mabadiliko mengi sana.
Features nilizozipenda ni hizi kuweza kutumia one time password ukiwasha mobile hotspot maana yake hutakuwa na haja ya kumpa user password yako ya hotspot unampa password ya muda akimaliza kutumia inabadilika.
Nyingine ni...
Maelezo murua kabisa.Tatizo wengi wakisikia jiko la umeme wanaogopa bila kujua lina ufanisi mkubwa kwa sababu linapika kwa kutumia nguvu ya usumaku bila kutengeneza joto linalopoteza umeme.
Hiyo ilikuwa zamani sasa hivi wanakufungia wiki moja baada ya kujaza fomu zao.Hapa wilayani wameshafungia zaidi ya wateja 30 kwa kipindi cha miezi miwili tu.
Natumia TTCL malipo ni kwa speed bila kujali utatumia GB ngapi kwa mwezi hata ukitumia TB haikati.
40Mbps ni 100,000/= kwa mwezi
60Mbps ni 150,000/= kwa mwezi.
100Mbps ni 200,000/= kwa mwezi.
Ila hata cha bei ya chini kina speed nzuri kwa matumizi ya nyumbani.
Naona sasa wameweka voice capability kwenye Chrome unaweza kutumia sauti kutuma maswali yako pia ikakujibu kwa sauti kama vile unaongea na mtu mwingine.
Link yake hii hapa
Kwa upande wangu nimepokea mizigo mingi kupitia Speedaf bila shida yoyote.Kuna parcel niliagiza May 2 leo May 16 nimepokea huku mkoani.Speed yao ni kubwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.