Search results

  1. T

    Shehe Mkuu wa Tanzania awakataza Waislamu kushiriki maandamano ya kisiasa

    Huyo ni shee wa ccm kama shee yahaya.. Astake kupangia waumini saa hizi.. Inaezekana akawa ni shehena katika meli ya mafisadi vilevile!
  2. T

    Vijana wote tushirikiane kwa hili

    The best groundswell movements render the existing power structure irrelevant, because the new belief system adopted by the masses overwhelms the capacity of the elite to maintain control over the former mass delusion over which they presided.
  3. T

    Kikwete aagiza Nyumba za Serikali zilizouzwa zirejeshwe

    Mmh tupe source ya data zako
  4. T

    The Healing Cup: When Faith Meets Needs - A Categorial Indictument of CCM's Policies

    Mwanakijiji! Thank you for making it clear! NO COMENT..
  5. T

    Dr. Slaa: Kikwete mmiliki wa DOWANS...

    Yaani hawa serikali they claim our wealth without our consent! Wananchi si washapinga hatutaki dowans tunulieni umeme wa jua au hata wa upepo au hata mawimbi ya bahari.. Dharura dharura tuko gizani miaka 20 sasa ndo wanatuletea zarura zao leo wanataka watupige changa la macho la mwisho wa...
  6. T

    Tufanye fundraising kuwasaidia waJapan

    We sema unataka tuchangie ule wewe.. Japan visenti vyako hana shida navo.. Wewe ukishaoneshwa kuguswa tu na maafa kwa taifa kama lile inatosha. I lived in japan for 6 years.. Trust me mchango kwa taifa kama letu wataona aibu kupokea Manake wakituangalia hata umeme hatuna na hatujapata maafa...
  7. T

    Kikwete atoa agizo wastaafu wa EAC walipwe!

    Hata kama kaongea walipwe hawatolipwa.. Jamaa hana control ya staff wake.. Bosi kivuli..
  8. T

    Rostam awaparamia CHADEMA

    jamani musimseme mjomba rostam, yeye anaiba kutokana na upenyo anaowachiwa na wajinga i.e ccm
  9. T

    Majina ya wauza Madawa ya Kulevya: Kikwete anayo!

    wanaruharibia vizazi hawa watu.. ni maadui si kwa binadamu tuu bali hata mungu hayunao watu hawa..
  10. T

    IMF sees slower growth, high inflation in Tanzania

    Nipeni mie tanesco muone kama mtakaa gizani.. Lakini sitoruhusu siasa zenu ziniathiri kama mwekezaji.. Yaani umeme ukikatika mimi nalipa fidia..
  11. T

    Ni woga wa Kikwete ama ndio serikali inavyotakiwa kuwa

    Kama usemayo ni kweli basi si haki!
  12. T

    babu Loliondo ni mbinu ya ccm kumfunika slaa

    Hata wewe umeliona hilo! @ shomari
  13. T

    I Think I love my wife

    Na kwa nini usimpende? Ulimuolea nini?
  14. T

    Ufisadi mkubwa Mambo ya Nje: Mradi wa ujenzi Nairobi wasimama

    Hii si nchi hii.. Kote kumeoza!
  15. T

    babu Loliondo ni mbinu ya ccm kumfunika slaa

    Tokea babu wa loliondo atambe magazeti dr slaa amesizi kutokea katika front page za magazeti.. Ndo ujue kama wabongo wanapenda mambo ya kidaku kuliko maendeleo!
  16. T

    Lion killed in Mbagala, Dar es sallam

    Simba atoke liwale huko mpaka afike mbagala asionekane? Ndo ujue walinzi huko njiani kote wamelala..
  17. T

    Rwanda, Burundi, Zambia, Uganda, Kenya hawana mgao wa umeme, why Tanzania?

    Wajifunze nini na wao wanafanya kusudi? Huwezi ukawa unakula fedha za miradi halafu mgao usiwepo.. Kwa hivo huu mgao wetu ni politically engineered
  18. T

    Tuliozoea kutoka uarabuni kumbe hata ulaya nako yapo?

    Ubaya hauna kwao.. Tena hao wazungu ndo wabaya mno mpaka uwajue ndo utauona ubaya wao!
  19. T

    ashakum si matusi

    Hahah@jogi
Back
Top Bottom