Relation nzuri Ni maongezi ambayo Ni chanzo cha kila litakaloendelea.Ndg watz awamu hii INA kila sababu ya kuwa hvyo ilivyo bas kazi kwetu kama utavumilia mahusiano yako kwake bad mkopo sasa na mnachotaka ndo hicho lakini mjue maendeleo yana sheria zake ambayo moja Ni kupanua ufahamu...
Wanaforum registration form inaonsha nmechaguliwa mining lakin kwenye ubao wa wachaguliwa naona niko environmental. VP nfanyeje niliomba mining as no.1and environmental kama chaguo la 2.
Tufanyeje kama below3.5gpa na cc cjui tutapata mkopo tulikuwa tumejitoa fahamu tukatuma tu FM za mkopo lakini tukabaki kusubili irakavyokuwa ma Heslb nap wakaja na usemi kuwa hawakotayari kutoa mkopo kwa waombaji wapya .hatuelew kwa kweli irakuwaje
Nacte mpaka Leo October 2 hawajatoa matokeo kwa waombaji baadhi was degree kwenye vyuo mbalimbali na sasa baadhi ya vyuo vinamtaka aliyechaguliwa kuliport tarehe za katkat mwez 10.ndg zang wan a forum EB npen ufahamu zaidi juuya hill.
Jamani bodi ya mkopo (Heslb) kulingana na tangazo la kutotoa mikopo kwa waombaji wapya baada ya TCU kushuxha vigezo inamanishaje Ni wrote below 3.5 hawatapa mkopo au nn .jamani nieleweshen sana jforum.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.