Habari wana jukwaa,
Watanzania tumeushinda ukabila tumeshindwa na uchama yaani Januari mpaka Januari kazi ni kukipigia makofi chama chako ukienda kwenye mkutano wa chama chako unasikiliza tu aulizi maswali hata kama unachoambiwa hakikuingii akilini hakina faida kwa jamii.
Tunawashabikia watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.