jaribu kudownload nokia software updater hapo itacheki kama kuna latest update yoyote kwenye cm na itamaliza mambo mengine yenyewe au update over the air
yah kama zing alivosema tuambie kama kuna moja ushasubmit market au kama ipo kwenye site yoyoye ile tupate mfano mzuri toka kwako na ikiwezekana hiyo community ianze haraka iwezekanavyo coz android is very growing mobile platform to date......i am really looking foward for a cool JF Android...
'' tatizo kila kitu tunaingiza siasa na dini bila kuchanganua, suala sio dini ni ushabiki wetu kwenye hizo dini zenyewe, tumeanza sasa kutizamana kidini dini, tuwe makini na kuheshimu dini tusiongee tu kufurahishana wajemeni na kukashifiana kwani tunachokipanda ni sumu itayokuja kutuua wenyewe !!''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.