Za jioni, nyumba inauzwa ajentina manzese. Ina hitaji marekebisho kidogo sababu ilipata kuungua moto kidogo upande Mmoja.ina crumbs sita,frem na kibaraza mbele, jiko na store na vyoo bafu viwili kwa nje na inahati ya miaka 99.bei million 60,000,000 ila mazungumzo yapo.ataetaka kuona anitext...
Habari za asubuhi waungwana,
Hawa Kopa Mali foundation wanahusika na ukopeshaji wa vitu kama bajaji, pikipiki, gari Noah na pesa.
Mwenye kuwaelewa vizuri hawa jamaa tafadhali atujuze
Za jioni Wakuu.ninataka kukopa two million ila sinakazi wala biashara ila na kiwanja chenye thamani ya million 12 hivyo mwenye kujua bank inayotoa mikopo ya pesa Kwa kuweka Bond viwanja,plz nijuzeni wakuu.nataka nifanye ujasiliamali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.