Soma Programming Language Kufuatana na Kile unachoenda Kufanya Hii Picha Nimeambatanisha itaweza kukuonyesha Usome lipi kwa Kazi ipi. Quality nzuri kwa Link hapo>>>
https://tinyurl.com/Kazikazi
Leta screenshot isije ikawa MOvieBox Modded apk yenye Logo ya Netflix, maana unakuta ni modded na umeweka script zako kwa ndani kama za Ku hack Information au Ads
Tunajenga Hoja tukitafuta solutions za Malipo wapo wakina Pesapal, ePesa lakini the best method na secure kwa sasa ni Paypal watu wa Amazon kutoitumia sio tatizo maana AMAZON is Based in USA
Sasa sisi kwa Tanzania ,unadhani ipi method itafaa mzee wa Software Engineering
Cryptocurrenciew ikianza tumiwa na Amazon ndio utasema Ulimwengu umefika Hapo Kama Giants awajaruhusu iyo method of payment,paypal ndio suruhisho kwa sasa
Knowledge Ghani ya IT maana mm IT ulimwengu mzima naweza Kuja na Laptop kumbe kazi yenyewe Office automation ; Kazi ya Online - mhh elezea tuje na Modem Kabisa isije ikawa kazi yakudownload Movies na Audios
Download ADWARE REMOVAL TOOL from Malware bytes ita scan kisha ikirestart mashine Computer inakua Poa
https://www.malwarebytes.com/adwcleaner/
Ukimaliza Install Adblocker kama Addons kwenye Browser yako ya chrome n Firefox
Kwa hiyo ume apply Ads bila kujua unachofanya Mkubwa Nadhani ungefuatilia Videos youtube na ukafanya Research kwenye Google ukapata Mwanga zaidi kuliko APPLY kitu then haujui kinafanyaje kazi kwa ufupi kuna Codes una Generate
Pia kuna maswala ya CPM
Umekuaje Mkuu ?! post yako ya Pili kama Sio yatatu unazungumzia swala lile lile
Kuna Jamaa yangu licha ya kumkatisha tamaa ya kujiunga kwenye Q-net bado anaendelea kunisumbua
Kuna Jamaa yangu licha ya kumkatisha tamaa ya kujiunga kwenye Q-net bado anaendelea kunisumbua - JamiiForums
☹️
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.