nashauri,kama uwepo wa upinzani na fikra tofauti na za siri-kali ni dhambi..basi ni bora tufute vifungu vya sheria ya mwaka '92 ndani ya katiba ya jamhuri ya muungo wa tz na turudishe vile vifungu vya chama kimoja,mgombea mmoja..
ukitaka kumtawala mtu yeyote duniani..
1:mjengee hofu juu ya maisha yake na shughuli zake
2:mnyime elimu na uhuru
3:anza kumkejeli kwa majivuno yako na kujipaisha kwa kujipa sifa zisizostahili..
hayo ndo ccm inawafanyia watz walio wengi..
ni bora muwe mnanyamaza tu kuliko kila kukicha kutupigia makelele kwenye vyombo vyetu vya habari kwa porojo zenu..nyie ni watu wa seminar za elf 20 per day kwa mda wa siku 2 mnatulia..endeleeni kutulia hivyo hivyo!!!
tunataka viwanda vya mataili,viwanda vya mikonge,viwanda vya nguo,viwanda kukamua/sindika matunda,viwanda vya kusindika nyama/samaki na ngozi,viwanda vya kutengeneza viatu...sabuni tunaweza kujitengenezea wenyewe majumban mwetu,pia sabun zipo nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.