JAMAAAANIIIIIII!!! mbona mnabishana na huyu Mbayuwayu au mmesahau mada za muhimu kuusu katiba na jinsi ya kupata ukomboziiiiiii,atakaye endelea kumcoment mbayuwayu pia kwani mada yake haina Mashiko kwa mustakabali wa Taifa:A S-frusty:SHUT UPP!!!!!!!!!!!
nimekaaa kimya kwa Muda ila wewe kijana unaonyesha huna hekima na kama unashule aikusaidii chochote,je unadhanii wote mana JF tunadhamini upimbi wako,kabla hujatoa coment think Big like wise and give out concrete argument na sikuwa kama vuvuzela,kimtazamo Rais anaongoza kikuku nathani umenielewa...
asante sana kaka kwani umenena kwani huyu jamaaa ni fisadi pia kwani hawezi kuvaa kofia mbili kwa wakati mmoja
nahoji,je kazi za mkuu wa wilaya anafanya nani mudaa huuu anaofanya propaganda?au ndokula kodi ya wananchi masikini kwa mishahara isiyo na tijaaaaaaaaaa,inauma sana ndugu zangu:A S 103:
jana nimeangalia Taarifa ya habari ya jioni Saa 2 TBC ikatoa habari ya kikao cha CCM huko musoma juu ya kipi kimesababisha Musoma karibia majimbo yote kushikiliwa na Chadema na hapo ndipo niliposhangaa kumwona Makongoro nyerere kujigamba kuwa Familia ya Baba wa Taifa haungi mkono CHADEMA kama...
kuishi kwingi kuona mengi,tunajua umetumwa na mchawi aliyekuloga ameshakufa kitambo,me sijui wewe umetokea chimbuko gani na wa enzi gani,kwanza kwa taarifa yako nimebaini njama yako ya kuleta mfarakano je utapata faida gani kuona vurugu na chuki dhidi ya waislam na wakristo inatokea,najua akili...
wewe jaykey,hizi picha umefoji kwani huyu bibi anayetabasamu na kicheko hapo ni bibi yangu na niko naye huku Morogoro na hajawai fika mbeya tangu azaliwe,jitaidi kuwa na busara katika kuleta mapinduzi katika taifa kwani propaganda zisizo na tija ndiyo zimetufikisha hapa tulipo,hebu jifunze kuwa...
SASA WANA JAMIII NDIYO TUJUE UMUHIMU WA MAANDAMANO,JE ANGEPATA MUDA SANGAPI KUDHURU JIMBONI KWAKE KAMA SIKIFO CHA NYANI?UNAJUA HAWA VIONGOZI NI WANAFKI SANA NA WANATUMIA UDHAIFU WA WANANCHII KUWADANGANYA KWA MAFUMBO NA KEJELI SIZIZO NA MSINGI,KWA KIFUPI CCM WAMELOWA NA HAWANA JIPYA NA SIDHANI...
kifo cha nyani miti huteleza,sionii cha ajabuu Huyu Mama kuropoka kuwa Muheshimiwa Lema alikosea
kwaniiii katumwaa na yuko pake kama skeleton kukilinda chama na Mungu amemuumbua jamaniii inatia aibuuu sana
hiiiii na Tanzania hii Mungu ndoanalipaaa sasa kwani anasikia vilio vyetuuuu na badooo...
"The difference between ordinary and extraordinary is that little extra"
inaonyesha yeye amepungukiwa busara na wewe unayo,so katika msafaraa wa mamba kenge pia wamoo,
msamehe buree ila namwombaa asirudie kwaniii yeye ni mtu mzima na kajua kosa lakee
ahsante:wink2:
nduguuu wana JF huyuuuu mama anaongozwaaa na siii anaongoza kwaniii hamjuiiii hili,yeye anapelekeshwa kama remont controler
na hama maamuziii kama ya our former Honorable SAMUEL SITA na asipojibadilisha ataangukia puuwaa kwanii analeta UCCM ndanii
ya Bunge,kiukweliii Pinda alichemka na amepotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.