Hivi kuna umuhimu gani wa kutaja mwinbaji wa nyimbo kama huna uhakika au kwanini usiache tu zikapiga au anayejua akataja?
Kipindi cha ubaoni wamepiga wimbo unaoitwa dont leave me wa BLACKSREET , sasa kuna mmoja karopoka wimbo unaitwa dont leave me wa backstreet boys sasa kuna mwingine akawa...
Tumeskia tu mara ulifanya kazi ukaacha ukaanza kuanzisha viwanda na hukuanza na ipp moja kwa moja vipo ilivyoanzisha vikafeli kwanza, je ULIPATA WAPI MTAJI, wengi tunajua kuanzisha kiwanda sio kazi ndogo kwa siku hizi sasa sembuse vipindi vya ujamaa kwa nyerere ambapo pesa ilikua ngumu na...
eti ni mbunge wa viti maalumu anayewakilisha walemavu?
Tupo serious kweli?
Huyu ni mlemavu wa nn mbona kuna walemavu wa aina nyingi hatuoni wakiteuliwa mnateua mtu mzima na viungo vyake eti anawakilisha walemavu, Mungu awalaani!!!!
baada ya dr MENGI kufa kapokea sifa nyingi na appreciation za kutosha na tumejua mambo yake mengi ambapo akiwa hai wanaojitapa kuwa wanamjua walikua hawajitokezi na kuyasema, huu ni u.k, kwa nn msimsifie mtu akiwa hai mnangoja hadi afe?
Huyu mzee kwa misaada ya mabilioni aliyokua anatoa kwa jamii ina maana ana pesa sana, KUNA KIPINDI TULISIKIA BAADHI WAKISEMA HALIPI WAFANYAKAZI WAKE VIZURI AU MALIMBIKIZO YA MSHAHARA, JE HII NI KWELI?
je hii inachangiwa na nn au ni masharti ya waganga?
Unawezaje kusaidia watu wa nje wengi huku...
Yani hata uganda wakituachia lesotho watakaza tu washinde sisi tusishinde tu MUNGU saidia tupigwe tusiende popote kuna dhuluma na ushenzi mwingi ubaendelea nchi yetu tupigwe tu kabisa
Hizi tuzo za I CAN kwa wenye ulemavu waliofanikiwa zipo biasead sana kwanza wangeta tu ni ZA WANAWAKE WENYE ULEMAVU bz kuna wanaume wanashiriki kila mwaka na vigezo sawa hata kuwazidi hao wanawake ila wanaachwa pia mbona ulemavu umebezi kwenye viungo kama miguu tu?
Kuna watu kama VIZIWI...
Toka nianze kufuatilia hizi tuzo mara 2 nashuhudia wanaoshinda wengi ni wanawake tu,
Mbona kuna wanaume kibao wenye ulemavu na hivyo vigezo wanavyo?
Badlini jina liwe I CAN AWARDS 4 WOMEN
Jamani hili swala pia usikute kuna wanaojiuliza pia hivi toka kuzikwa KANUMBA 2012, bado kuna sehemu kweli?
Hapo kati hakuna waliokufa?
Au haya makaburi wanazikwa watu maarufu tu?
Au ni mechanism gani hutumika kuzika watu na pasijae na vipi bei ni shillingi ngapi?
Simaanushi uwe unatangaza kila uhusiano wako ila pigania kuolewa, MFANO WA NANDY, lipindi cha skendo ya bilnass alisema ana mtu wake mwingine kumbe ndio alikua RUGE, hivi asingeumwa wangapi wangelijua?
NLICHOGUNDUA WATU WENGI MAARUFU WANAWAPANGA KE KWA KISINGIZIO CHA KUFANYA MAHUSIANO KUWA SIRI
Jamani hivi kuna uhalisia wa mgawanyo wa hela kwa wanaopata bonus match?
Au kama umewahi kupata dau kubwa jackpot hebu tuthibitishie
MM MBET, nimewahipata mechi 9 mara 5 na 10 mara 1 japo sichezi mara nyingi, ila sportspesa naishia mechi 9 na 8 mara nyingi.......
Tupe uzoefu wako
Eti watuhumiwa walioshikwa wakisindikiza dhahabu mwanza(askari) wapelekwe mahakamani, yani unawahukumu kana kwamba una uhakika walichofanya sasa kama huwajui hawa jamaa wana tabia ya kuteteana wataweza kushinda na mwishoni wakudai fidia pia mawaziri wako wangapi wanaiba na kuhujumu uchumi hutoi...
Hongera kwa walioitwa interview leo, ila mbona kuna kada zingine hawajatoa majina kama FIRE & SAFETY OFFICER, na zinginezo?
Au walitoa alafu hatujayaona?
Kuna mwanasiasa aliwahi sema utawala huu wa awamu ya 5 unaweza uwe ndio utakaokua umetumia pesa zetu vibaya, kutuachia madeni ya ajabu na ufisadi wa hali ya juu.....
HII MIRADI YA MATRILIONI ITATUNUFAISHAJE NA KWA NN TULAZIMISHE ITEKELEZWE KWA MIKOPO?
TUNA HARAKA YA KWENDA WAPI?
kuna ule wa gesi...
Huu mradi ulipata upinzani mkubwa sana kipindi ukitekelezwa, hivi ulishaisha!
Tuliahidiwa baada ya huu mradi UMEME KUKATIKA NI HISTORIA NA BEI ITAKUA NDOGO sijui kama yamekua real au ilikua janjajanja watu wapige hela tu
Najiuliza sana hii sheria mbovu iliyopitishwa inayotaka mstaafu asilipwe kiinua mgongo chote kwa mkupuo, hivi hawa tunaowaita ni wapinzani watutetee walikua na mchango gani ktk hili?
Bora tungesikia wakiipinga kwa nguvu zote ila sijaskia mchango wao ndio maana nasemaga muda mwingine kupiga kura...
Jamani tulishaambiwa mda fulani na kusisitiziwa na waziri mkuu hata na rais kuwa magari ya gvt yasitumike kwenye shuguli binafsi,
IELEWEKE SINA CHUKI WALA NA TATIZO NA CG ILA HAKUNA FAIRNESS KWENYE MATUMIZI YA HAYA MAGARI,
kuna watumishi wengi wa umma nahalmashauri wanapataga shida au matatizo...
Nadhani hii ni kama laana ya watu wanaolalamika kuwa kwa nini faini ziwahusu wao tu au magari binafsi huku ya serikali yakitamba yanavyotaka bila kufuata sheria na kuogopwa
Na hii itaendelea sana hadi fairness itakapowekwa kwenye sheria
Aisee mm nawaza tu kuna kipindi tuliambiwa gesi sijui inasafirishwa toka ntwara sijui hadi wapi,(hii gesi ni mradi uliogarimu mabilioni kama sikosei sasa inatusaidiaje kwenye umeme wakati bei ni ileile huku WANASIASA WAKATI MABOMBA YANATANDAZWA WALISEMA MRADI UKIISHSA UMEME UTASHUKA BEI SANA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.