Naombeni jamani msaada, kwani nimekua nikikopa kwenye tasisi flani za fedha. Nilipofikia kukopa milioni 7 waliniambia nilete kwanza milioni 5 ili kufidia sh. 1500000 iliyobakia katika mkopo uliotangulia wa milioni 3. na milioni tatu na nusu itakayobaki wataifadhi kama dhamana ya mkopo. Baada...
Katika hili inategemea pia imani katika mtazamo wako juu ya wanaume,nini walikufanyia kabla ni kipi kibaya ulisikia kuwahusu.wanaume wa kweli wapo. Ila badili kwanza hisia chanya juu yao. upo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.