Kuna eneo linaitwa Barazani - Lupembe, nakumbuka 1998 kulikuwa na uwanja wa mpira umezungukwa na mabanda ambao watu hupiga mtungi,kila dakika wachezaji wanatoka na kuingia uwanjani kumbe walikuwa wanaenda kupiga ulanzi wakirudi uwanjani wanaanguka tu.
TGS E.1. (696,200 hadi 751,000), TGS E.2 (710,700 hadi 751,000), TGS E.3 (725,000 hadi 782,000)
TGS F.1 (930,000 hadi 1,003,000), TGS F.2 (948,000 hadi 1,022,400),TGS F.3 (966,000 hadi 1,041,400)
Nawaomba radhi kwa leo nimeshindwa kuweka kwa kuwa una page nyingi pia muda ulikuwa mdogo, kwa kesho nitajitahidi kuscan hizo nakala na kuzitupia mtandaoni, pia kuna baadhi ya member nitajitahidi kuwatumia wale waliotuma email.
Tatizo lililotea Vijibweni mgawanyiko wa kura baina ya CCM, CDM na CUF.
CCM kama makadirio ya kura 1200
CDm makadirio ya kura 800 na ushee
CUF 700 na ushee kwa na pia watu wengi hawakupiga kura.
Kwa kuwa alikopa 5000 kwa watu wawili, akawa na jumla 10,000. Baada ya kupata discount ya sh 300 allitumia 9,700. Hivyo kabla ya yote kama angewarudishia 150 kila mmoja wangekuwa wanamdai 4850 kila mmoja, lakini aliwapa mia mia kila (Jumla 200) hivyo kila mmoja alikuwa anadai 4,950 ambapo jumla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.