Wala usichanganyikiwe na haya maneno mawili ambayo ni tofauti.
Mkaa = (charcoal) aina ya nishati inayotokana na miti au mimea uliyoungua nusu kwa kukoseshwa oxygen ya kutosha.
Makaa = (coal) ni aina ya nishati inayotokana na miamba ya mawe.
Mkaa -> unakata miti
Makaa ->unachimba ardhini...
Soma thread moja kwenye jukwaa hili hili, chini kidogo ya thread yako utaona thread nyingine "Msaada, modem ya vodafone ZTE" fuatilia maelekezo na bila shaka utafanikiwa. Hata mimi nilikuwa na shida sawa na yako.
Hii ni sawa na kusema ule mpango wa kujenga barabara za juu kwa ajili ya mabasi yaendayo kasi na kupunguza foleni ambao ulitakiwa uanze kufanya kazi mwanzoni mwa mwaka 2012 umefeli!!
Ikiwa kila kitu mnashindwa, kuna sababu gani ya kubaki huko madarakani na kuendelea kula kodi zetu kupita...
Marekani inajulikana kwa tabia yake ya kupenda rasilimali za wenzake...anapokuja kuja sana kwetu bila sababu ya msingi, sisi Watanzania ni wajibu wetu kuwa na mashaka naye kwenye mali zetu. Ni kama rafiki yako/mfanyakazi mwezio anayejulikana sana kwa kupenda kutembea na wake za watu mara...
Huyo bibi asiuawe, kwani tuna muhitaji sana aje kwenye jukwaa letu la Sayansi na Teknolojia..tuna maswali mengi ya msingi ya kumuuliza ili tuweze kushirikiana nae katika kuboresha teknolojia ya usafiri huo wa anga.
Hii itaisaidia Serikali yetu ambayo haina uwezo wa kununua ndege mpya, pia...
hatimaye imekubali kwenye laptop! Nilichofanya nimetumia dashboard ya airtel. nilichomeka modem ya airtel huawei e153, na nikachomoa na kuchomeka ya ttcl. Sikuamini macho yangu nilipoona maandishi ''cdma'' pale kwenye sehemu ya kuonesha signal ambako siku zote palikuwa plain. Kwa kuwa hii...
nimefanya yote hayo, lakini bado. Hii modem sijawahi kuona signal. ile sehemu ambayo huonesha signal, hakuna kitu pale ni plain. tatizo kubwa ndio hilo la signal. Modems nyingine huonesha signals hata kama ni weak yaani edge, lakini hii haijawahi kudisplay signal ya aina yo yote licha ya...
nimeangalia setting, namba zote hizo zipo, nimefuta password na kuiandika tena upya yaani the last 6 digits. windows niitumiayo ni xp lakini bado imekataa, inaleta error sms #678: ''The remote computer did not respond''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.