Kwa matazamo wangu, mtoa mada kawahi mno kutoa taarifa hasa pale tunapotambua kuwa uchunguzi unaendelea kufanyika. Wao kama sehemu ya wahusika katika sakata hili hawana sababu hata kidogo kuja kwa wananchi wanataka kujisafisha. Tusubiri wasafishwe na tume inayoendelea na uchunguzi. Mbivu na...
Nipo maeneo ya Kihesa, udadi ya watu ni kubwa mno ila sifurahishwi na spid ya upigaji. Watu wanachukua muda mrefu, sijajua tatizo ninini, kwa namna watu walivyo wengi kuna hatari ya wengine kukosa kuitumia haki yao. "BVR itupeleke kwenye electronic voting"
Mimi binafsi ninamtazamo kwamba, kabla ya kusema mkosaji ni nani, kuna haja yakujiridhisha juu ya tofauti kubwa inayojitokeza katika ripoti ya PAC na ile ya Serikali (Utetezi kama ilivyotolewa na Prof. Mhongo). Ningetamani sana haki ikatendeka kwa kila aliyehusika na kama kuna mwizi anaonekana...
... Mimi nimiongoni mwa walio pata fursa ya husikiliza kipindi kilichorushwa na radio moja ya Iringa juu ya mada hii. Mchungaji Msigwa alionyesha msimamo wake ambao kimsingi uli-unga mkono maamuzi ya kamati kuu ya CDM, ninachokiona kwa mwanzilishi wa mada hii yeye haungi mkono maamuzi...
Wasomaji,
Hakika takwimu hizo zinahitajika sana kwetu sisi wasomaji. Ningetamani tungepata orodha ya kata mabazo kulikuwa na uchaguzi wa madiwani, katika hayo tujue chama kipi kilikuwa kinashikilia udiwani wa kata hiyo kabla ya uchaguzi. Zaidi ya ya hapo taarifa za kuwa kata hiyo ipo mjini au...
Wasomaji,
Kuna wakati mambo yanapotokea yanatupa wakati mzuri wa kujifunza. Napata kujifunza kuwa Mzee wangu nyimbo hana msimamo na wala kusema kuwa yeye amezaliwa kuwa kiongozi silioni hilo kwake. Ningefurahi sana kusikia jitihada zake alizo zifanya kuona kama kweli kuna matatizo ndani ya CDM...
Hallow,
Nami nimesikitishwa sana na taarifa za msiba wa mwandishi maarufu wa Channel Ten Ndg yangu na rafiki yandu Daudi Mwangosi ambaye nilikuwa naye mpaka alfajiri ya jana akionekana ni mtu mwenye furaha sana.
Najaribu kutafakari haki itatendekaje katika kuchunguza chanzo cha kifo cha...
Hallow,
Napata ugumu kidogo kuamini kuwa Kubenea anaachana na uana harakati aende Bungeni. Alikuwa kioo cha jamii na changamoto ya mabadiliko. Ingekuwa ni mapenzi yangu, ningetamani abaki kuendelea kuwasha taa ambazo waandishi wengine walishindwa kustahimili kushika kiberiti chake kwani...
Kwa tafakari ya kawaida kabisa, huu ni mpango wa kuwasafisha wale ambao walichafuka katika sakata la ununuzi wa mitambo ya richmond ambayo dowans walirithi. Kilichopo sasa nikutafuta namna ambayo hiyo mitambo itachukuliwa na serikali kwa blanketi la kupunguza makari ya umeme ambayo wametangaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.