Je TFF walikuwa sahihi?? Jibu langu litakuwa HAPANA.
Sheria na taratibu ya kusogeza/kuhairisha mechi inasemaje?,ilibidi waishauri wizara husika katiba yao inasemaje
Mimi ninachojua wageni wanapewa vitambulisho Lakini vinakuwa tofauti na raia wa Tz.
kwenye uraia inawekwa uraia wake halisia anapotoka na pia Expire date inatokana na work permit yake kama May 2020 basi expire date itakuwa may 2020.
Kumbuka baadhi ya walioachishwa wana mikopo mibichi .
sidhani kama riba itashuka wakati makampuni mengi yanapunguza wafanyakazi na ndio wateja wa hayo Mabank.
Huyu jamaa anastahili pongezi.
Mimi nimekutana naye maeneo ya Kingorwila tawi la Simba
Na Mikumi ilieleweka alipewa msaada kuvushwa hadi Doma kwa usalama.
Tumpongeze kwa kutimiza ndoto yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.