naweza nikubali au nikatae shutuma nyingi zilizotolewa kwa jina hili, lakini kwa namna moja au nyingine sitolisahau jina hili "BENJAMINI WILLIAM MKAPA" he was the president real
Jamaa wametutangazia mgao umekwisha baada ya ku-service hivyo visima vyao kama walivyodai
chakushangaza baadhi ya maeneo bado wanakata umeme kwa mfano huku kwetu mbezi juu juzi walikata saa 2 asbh mpaka saa 12 jioni, jana wamekata saa 12 jioni mpaka saa tano usiku. sasa watutangazie kama mgao...
Any way tufikirie mara mbili iweje upige kelele mshahara wa wabunge ni mkubwa sana alafu utake kulipwa hivyo kwenye chama? iweje upinge serikari kununua vitu chakavu lakini kwenyd chama iwe halali? kuna hoja ya msingi hapa! samahani kwa nitakao waudhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.