Du! Asante sana ukiona mtu ametoa muda wake kutoa mada nzuri namna hii hatuna mengi ya kusema ila Mungu akubariki. Watu wengine wanakuwa wachoyo na Elimu zao.
OK Nikusaidie tu Mkuu hilo ni swala la kiroho Zaidi kuna watu huwa wameingia maagano na hakuna Agano bila mkataba sasa huo mkataba wa ulinzi alioingia inawezekana hata hajui hicho wewe unachokiongelea Ni kwamba tu aliingia kwenye mahusiano na mtu akaamua kumfanyia hivyo kama kumtia nuksi Ila kwa...
Hivi unajua kuwa ukifahamu mambo mengi katkati ya wajinga wengi wewe ndio unageuka kichaa
Viongozi watanzania wenyewe wanajua wanawaongoza wananchi asilimia tisini wajinga ndio maana inakuwa rahisi kwao kufanya wanavyotaka
Leo hii ulichokiandika hapa hakuna anauwezo wa kukifanya pamoja na wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.