Baada ya kuona kuona mada mbalimbali umu jamii forums kuna baadhi ya vituvitu furani vikititokezaga huwa vinazua utata ambapo kila mtu anatoa perception zake sasa nimeona bora niwaweke watu sawa katika baadhi ya mambo hayo ambapo naamini ninachoandika mimi ndicho sahihi kuusu mambo ayo
1)...
kwawale wa udom ivi kuna mtu aliyeipata admissio letter na ni kwanjia gani tusaidiane
tuambine uku jf uko whatsapp kwenye ayo magrupu wengi simu zetu azina uwezo tupeane taarifa kwa wote
kama uzi unavyosema kuna kitu kimoja sikielewi ukishaomba programs zako kama ujaprint inamaana taarifa zako na kozi ulizoomba kure awazioni inakuwa kazi bure au nikwamba atakama ujaprint taarifa za machaguo yako wanazipata ila unaprint kama ushaidi
SWALI:ni ushaidi tu endapo lolote litatokea au...
kama uzi unavyosema kuna kitu kimoja sikielewi ukishaomba programs zako kama ujaprint inamaana taarifa zako na kozi ulizoomba kure awazioni inakuwa kazi bure au nikwamba atakama ujaprint taarifa za machaguo yako wanazipata ila unaprint kama ushaidi
SWALI:ni ushaidi tu endapo lolote litatokea au...
abari zenu wana jf ninaitaji msaada wa ushauri kati ya izi kozi
_Bachelor degree in procurement and logistics management
vs
_Bacherol degree in human resources management
yepi ambayo inauwanja mpana wa kupata ajira apa bongo msaada kwa anayejua kati ya izo yepi niweke priority
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.