Sanctus Mtsimbe nimemfahamu hapa JF enzi zile akiwa active sana humu. Nilibahatika kukutana nae around 2 yrs ago aki launch Zuku products. Anaonekana ni mtu mtulivu, mcha Mungu na mbunifu sana.
Rest in peace brother Sanctus Mtsimbe
Wizi wa kura na ujambazi wake hakuna kipindi kinachozidi kingine. Tofauti ni JPM hakuwa mnafiki na kona kona. Ukisikia mtu anasema 2020 ilizidi ujue huyo hajawahi kuwa front kwenye uchaguzi na kama alishiriki hakuwa insider alisikia sikia tu vitu.
Influence ya wazazi YES! Ila wengine tuliamua kuchunguza facts za imani yetu hadi kufikia hatua ya kuyumba kabisa ila tulipokuja kupata uhalisia ndipo tulipotuliza nafsi na roho kwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume!
Huwezi kujua kweli kwa kumtegemea mchungaji wako bila kukubali challenge nje ya...
Ni mpaka watapotokea walei wa invest kuweka maudhui ya Kikatoliki. Tuko slow mno na kutumia media kuinjilisha.
Hata TV maarufu duniani EWTN founder ni mother Angelica na inaendeshwa kupitia bodi maalum.
Kwa niaba yangu binafsi na wana Bunju tunashukuru mno kwa kambi uliyoweka zaidi ya wiki kutatua migogoro ya ardhi na kubwa zaidi ni kubeba timu zima kuhakikisha wananchi wana rasimisha ardhi zao.
Huu ndio ubunifu tunaotamani viongozi wawe nao badala ya kushinda ofisini. Umekuwa mnyenyekevu sana...
Ni sawa na demu mrembo kupindukia umeshamtolea mahari alafu unakuja kugundua ni malaya wa kutupwa!
Alafu kaka wa demu anakwambia muoe haraka kabla hujaporwa wengi wanamtaka! Sasa muoaji ndio Tanzania demu anamtamani ila ndio vile ...[emoji1787]
Ogopa damu ya mwanadamu! Anaweza kushinda hii vita kwa fedha na connections lakini ipo siku atalipa gharama ya hiyo damu yeye au familia.
Kupata hasara inatia hasira lakini kufikia kumwaga damu ya mtu ni tatizo la ziada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.