Aki i dont know what to say to you br. Najaribu kukuelewa lakini nina maswali kama matatu ya kukuuliza.
1. Mahusiano yako na mkeo yakoje
2. Mahusiano ya mkeo na mama yakoje.
3. Na mahusiano ya mkeo na biashara zako yakoje.
Ukishajiuliza maswali hayo yote na ukapata majibu kwamba ni mazuri...
Hakuna haja ya kutumia body language. huu ni ulimwengu wa uwazi na ukweli tena wa usawa. am a woman and it's good or the best thing to do kama wampenda wee mwendee mwalike kwa chai ama kinywaji chochote na umwambie lililo moyoni bila kuslake slake ohh atasemaje ohh atanionaje.
Mwanamke unaweza...
think twice before you do anything. so what. unamwangalia angalia mume wa mwenzio na kama ni wako na mwingine anamwangalia angalia what could have done
Mpeleke mahali ambapo hajawahi enda na urudie nadhiri zile ulizoziweka wakati ulikuwa unamchumbia it will be mor than enough to your wife that material things.
I dont think if you are doing her justice. Umekuwa na yeye mida hiyo yote na ushamzalisha watoto wawili and now you are here telling us age difference. To me you are not wise enough. And then if you love her and she loves you that much why should you worry. I think that is the most important...
nakupata kiukweli coz i had the same problem. la muhimu sasa you just let her go coz may she was not meant for you. hilo ndilo unapaswa kufanya kwa sasa.
Nadhani ni muhimu hawa wasanii wachukulie fani zao kwa umakini zaidi na kama usanii ndio wanaotaka itawalizimu warudi kwenye vyuo mbali mbali ili waweze kujikwamua katika swala hili zima la kimombo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.