Search results

  1. M

    Kwanini tunasubiri matokeo ndio tuongelee mfumo wetu wa elimu?

    Elimu, haitaweza kuwa bure, amini usiamini. Kweli shule inaweza ikubali kukuandikisha bila ada. Lakini elimu ya bure? Inawezekana kweli hiyo? Naona kama tayari ulikuwa unajijibu mwenyewe kwa kusema english medium zipo. Lakini English medium is not everything about education, it could turn out to...
  2. M

    Kwanini tunasubiri matokeo ndio tuongelee mfumo wetu wa elimu?

    Dume, hebu rudia tena. Inawezekana, kuna kipimo bora zaidi cha elimu zaidi ya mtihani. Kumbuka, unakaa darasani kwa mamia ya masaa kwa miaka minne, ama saba, kwa mwanafunzi wa shule ya msingi, kisha unafanya mtihani kwa masaa machache tu. Pia, tazama muda unaokuwa shule, si wote unakua...
  3. M

    Kwanini tunasubiri matokeo ndio tuongelee mfumo wetu wa elimu?

    Nashangazwa na hii hali. Kwanini tusubiri matukio ndio yatuibulie mijadala juu ya mambo muhimu kama kiwango cha elimu. Je, kama matokeo ya mwaka huu yangekuwa wanafunzi wamepasi kwa asilimia 80 tungesema kuwa madarasa yasiyo na madawati, shule zisizo na maabara, walimu wanaokaririsha majibu na...
  4. M

    Kibonde apewa siku tatu kuomba msamaha wanafunzi wa chuo kikuu cha udsm

    kwanini wasomi wasiende kukanusha kwenye radio mlimani pia?
Back
Top Bottom