Sina mda mrefu toka nipate ajira iliyonifanya niame toka kwa wazazi na kupata chumba magomeni mtaa kapuni si mwenyeji hapa mtaani ratiba zangu saa 12 asubui nachomoka kwenda jobu na narudi majira ya jioni, siku za jmosi na jpili siendi job.
Kilichotokea jmosi moja niko home napiga usafi wanguo...
Salaam wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kufaham jinsi kuingiza sauti kwenye video kama wanavyofanya baadhi ya maDJ wanaotafsili picha mbalimbali na kuingiza sauti ndani ya picha hizo.
Pr Lipumba pole na maswahibu yaliokupata katika chama kuanzia yaliotokea kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi atimae umerudi katika majukumu ya kusimamia na kuendesha chama. Nakumbuka huko nyuma namna wenzetu wa katika upinzani walivyokuwa na mchezaji mahili katika siasa za Tz yetu kwa bahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.