Search results

  1. MDANGANYIKAJI

    Hackers wafanya yao website ya UDSM

    Mbona website ya UDSM ipo vizuri tu. Hao watakuwa mahacker rappa
  2. MDANGANYIKAJI

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Eeehee Mungu mponye mtetezi wetu jamani... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. MDANGANYIKAJI

    RC Dar, TEF na Ruge waongea na wanahabari: Habari za RC sasa ruksa. RC agoma kuwaomba radhi Clouds

    Yupo live mbona kwenye insta yake sema anaposulubiwa wanapause Sent using Jamii Forums mobile app
  4. MDANGANYIKAJI

    RC Dar, TEF na Ruge waongea na wanahabari: Habari za RC sasa ruksa. RC agoma kuwaomba radhi Clouds

    Anaulizwa maswali ya msingi anajikanyaga tu. Hajaomba msamaha ni kama viongozi wa TEF wanamuombea msamaha "yaliyotokea yametokea tusonge mbele tufanye kazi...." Shame on you TEF Sent using Jamii Forums mobile app
  5. MDANGANYIKAJI

    RC Dar, TEF na Ruge waongea na wanahabari: Habari za RC sasa ruksa. RC agoma kuwaomba radhi Clouds

    Wanasema walitegemea Makonda aombe radhi mapema baada ya kupewa ban, ila kwa kuwa muda ulienda sana wakaamua wenyewe TEF wamfate wayamalize. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. MDANGANYIKAJI

    RC Dar, TEF na Ruge waongea na wanahabari: Habari za RC sasa ruksa. RC agoma kuwaomba radhi Clouds

    Mngejua kinachoongolewa mle TEF wamejishusha hadhi sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. MDANGANYIKAJI

    How will i get true love?

    Sometime its very hard to deal with heartbreak especial on a person you have trusted for your whole life!
  8. MDANGANYIKAJI

    How will i get true love?

    Nalia peke yangu, ni lini wanaume wamebadilika na kuwa very cruel like this? Where is true love? Where is my Mr right?
  9. MDANGANYIKAJI

    Niende kiwanja gani Tabata Ijumaa Leo?

    Frishers arena Kinyerezi kipo poa sana na mandhari mazuri
  10. MDANGANYIKAJI

    Msanii Wema Sepetu kujiunga na CHADEMA rasmi

    Umri wako bado, nimejudge kwa uandishi.
  11. MDANGANYIKAJI

    Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

    Mbowe ameachiwa saa 7 na dk 20 usiku, asubuhi hii saa 3 anaelekea mahakamani kumfungulia kesi Makonda
  12. MDANGANYIKAJI

    Yusuf Manji awasili Polisi kituo cha Kati kuitikia wito wa RC Makonda

    Kichwa cha habari na habari haziendani hapo kanyimwaje dhamana
  13. MDANGANYIKAJI

    Natamani kujua kinachoendelea Jangwani Sea Breeze

    Si kweli Darassa kajaza jana na yupo peke yake hamna cha Clouds wala Vera Sidika. Wacha maneno weka muziki....
Back
Top Bottom