Search results

  1. N

    Gharama za kutunza viongozi wastaafu - marais, waziri wakuu na makamu marais

    Gazeti la raia mwema wiki hii limeandika uvumi kuwa waziri mkuu wa sasa ameomba asifikiriwe katika baraza jipya linalotazamiwa kutangazwa siku za usoni. Kama uvumi huo utakuwa kweli basi Pinda anaongezeka katika listi ya mawaziri wakuu wastaafu. Suala hili la gharama za kuwatunza hawa viongozi...
  2. N

    Mei Mosi 2012: JK akasirishwa na utafunaji wa pesa za umma, wahusika kukiona...

    Huu ni unafiki wa hali ya juu kwa raisi wa Tanzania, JK!! Badala ya kuongea masuala yanagusu masilahi ya wafanyakazi, yeye anaenda kuongea siasa. I am surprised kusikia kuwa alifurahishwa na majadiliano yaliyokuwa yakiendelea bungeni na wakati huo huo ni yeye alikaririwa na vyombo vya habari...
  3. N

    Hukumu ya jimbo la segerea kesho

    Imefikia wakati mtandao huu unatumiwa vibaya- watu wanapost mambo ambayo hayana tija. Mfano ni post hiyo hapo juu. Ombi langu kwa moderators ni kuwa post kama hizi zisipate nafasi katika jamii forum tena.
  4. N

    Kwanini ninagombea Ubunge wa EAC - My Case!

    Narejea kauli ya prof wange hivi karibuni kuwa " wagombea wapimwe uwezo wao kwanza".. Nina mashaka juu ya uwezo wako wewe achia mbali jina pengine linaweza kukusaidia. Nimesoma statement yako hapo juu.....mmm inaonekana lugha uliyoitumia haipandi sawa sawa. Next time, jaribu kuwasilisha ujumbe...
  5. N

    MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

    Kama kweli mshindi atakuwa ni Chadema, basi naona watanzania taratibu wanaanza kuwa na uelewa hasa wa kutambua kuwa wako hivyo walivyo kutokana na sera mbovu za CCM. Binafsi nitafurahi sana kama Chadema atatangazwa officially mshindi wa Arumeru mashariki.
  6. N

    Kikwete mpaka leo hajajua kuwa yeye ndio Rais wa Tanzania, anasubiri nini?

    Ni kweli huyu bwana kachanganyikiwa. mwacheni avae suti suti na kula chakula cha bure kwa mara ya mwisho. Watanzania tujutie makosa ya kuwa na hawa ccm kwa muda wote huo. Hakuna political will na hata leadership miongoni mwao. Hadi inatia hasira kusikia kiongozi wa nchi anajisifia utendaji wake...
  7. N

    Kikwete: Hata Nyerere alishindwa ingawa tunamsifu sana

    Binafsi, naamini sasa kuwa usomi wa kikwete uko kwenye vyeti kama alivyowahi kudokeza Dr Slaa siku chache zilizopita.
  8. N

    Katiba Iweke Wazi Mambo Haya

    Naunga mkono yote uliyopendekeza kuwemo katika katiba. Jambo jingine ni kuhusiana na masuala ya serikali za mitaa. Mameya na wenyeviti wa halmashauri zote wachaguliwe na wananchi katika maeneo husika. Ni mameya na wenyeviti hao wakiwa pamoja na madiwani wao watachagua wakurugenzi au city...
Back
Top Bottom