Msaada ndugu zangu. Mim ni mfugaji mdogo wa samaki aina ya tilapia (sato) sema kwa mwezi mmoja sasa samaki hawana response nikiwapa chakula. Je, hili ni suala la kawaida?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwenye elimu ya jinsi ya kutengeneza chakula cha kuku zaidi upatikanaji protin mfano funza, minyoo, mende msaada jamani aana dagaa na soya ni gharama mno
Kipi bora utoe salamu ya kitumwa shikamoo au utoe salama ya kawaida ambayo itamjulia hali mtu wa rika lolote lile
Mim sion utafauti kimantiki kati ya asalam aleykum na habari yako... mtamo tu ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.