Nimezoea kuskia uchafu na serikali inavyolaumiwa kwa uchafu hasa kwa kipindi cha ujio wa Obama, kinachonishangaza nikuwa lawama na matusi yote yanaielekea serikali, nachojiuliza ni kuwa, usafi huwa haufanyiki nchi hii humo mitaani!. Ni kweli wakazi wa jiji hiili hasa mitaa ya kati hawajawahi...
Miaka mitatu ilopita nilinunua nusu eka pale mlandizi,nikaweka pilipili kali na kuhakikisha hazitegemei mvua, mwaka uliofuatia nikaweza kununua eka nne hukohuko mlandizi, nililima nyanya nusu ya eneo na lililobaki nikaendelea na pilipili, nyanya zinahitaji maji mengi sana kwa hiyo niliziacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.