baadhi magazeti na vyombo vingine vya habari vinamilikiwa na mafisadi. hivyo wahariri wavyombo hivi hawako huru. wanabana kutoa habari ambazo zinaweza kuchochea mageuzi ya kisiasa. hili ni tatizo kubwa. Hongera mwanahalisi na raia mwema - YOU ARE DOING ALOT KULETA MAGEUZI!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.