Habari za mchana wana jf
Tarehe 19/11/2016, siku ya Jumamosi kulikuwa na mahafali ya chuo kikuu flani (jina linahifadhiwa). Nilifanikiwa kufika chuoni hapo kusherehekea na mdogo wangu. Sherehe ilikuwa nzuri mpaka mwisho, muda wa sherehe ulipokwisha nilimuaga mdogo angu na kuanza kutoka getini...
Wadau japo tunapenda huyu mzee tutambue tume ya uchaguz ipo chni ya ccm. Polic wapo chn ya ccm, wakurugenzi wote ni makada watiifu wa ccm. Hv tunategemea nin hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.