Hongera Dr. Harrison
Tunahitaji watu mfano wako wa kuamini kuwa inawezekana na kujitahidi kuonyesha vitendo utekelezaji wa sera ! badala ya malumbano na malalamiko.
Ni sawa kwa Dr. kwani msomi ni mtu huru na si mfungwa. Anaweza kufanya hayo kwa uelewa wake mpana , ila angalizo tu ni kuangalia taswira anayoitoa kwa jamii, kwani jamii inajifunza kwake. Watanzania wengi kiwango chao cha elimu na uelewa si kikubwa hivyo.
wajameni kwani mahakama itakayowahusu waislamu na masuala yao bila kuingilia uhuru wa watu wa dini nyingine ina ubaya gani?,au wakristo wanahisi wataathirika na nini?,nadhani ni bora tusikilize chimbuko la machungu na ghadhabu za upande huu!,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.