Hawa hawana lolote hawafuati nyakati ! Bei zao labda watumie wenyewe kwa mfano mb 150 elfu 15000/= wakati wengine ni elfu 2500 ! ! Watabaki hivyo hivyo !!!
habari wadau Mimi nimetafuta sana hii motherboard ya hiyo mashine hapo juu!! naona hapa dar motherboard nyingi ni za Intel chipset !!! hi ilikuwa na tatizo la display vga !! kwa anayejua naomba anijuze tafadhali !!!
HUAWEI ni bora zaidi !! yenyyewe inashika 3G na high speed but ZTE hazina power mara nyingi ukiwa mbali na town zinashika edge au high speed kwa mara moja moja !!
Duuh !! hawa jamaa wapo poa kwa hizi modem mpya Za huawei !! na sio ZTE wamechesha !! ila kwa hizi wapo poa !! mi naishi maeneo ya kibamba karibia na kibaha Ila speed ndo hiyo !!
usijali mkuu kesho ntakuja na maelezo yote kwa wanahitaji.!! .....ila kwanza nataka nione watu wana hitaji ..kweli..!! najua kudownload games kama hizi kwa watu wengi ni kazi ngumu ...na pia gharama kubwa....!! dats why...nashare hii na wanaJF ...wenzangu..SHARING IS CARING..!!!:juggle:
habari zenu !!! kwa wale wapenda games...........
GAMES AVAILABLE..!!
1. RACING GAMES.
-Need For Speed: The Run Full: 15.0 GB Graphics, Speed.CPU (released 15.11.2011)
Minimum System Requirement:
512 MB RAM ATI RADEON 4870 OR BETTER
512 MB RAM NVIDIA GeForce 9800 OR BETTER (Graphics)
2.4 GHz...
habari wakuu heshima nyingi...!! nina hard disk yangu....ilikuwa kwenye laptop dell latitude D630.. ikawa haiwaki...katika kuichek nikajua ram ndo tatizo nikabadilisha......ila after changing it inawaka but inaishia kwenye bios....this HDD is protected by password authentication sytem. you can...
salamu wakuu.....!! najua wadau wote mnapatikana hapa>>> airtel kama inawezeka...kwa sisi watumia wakubwa na internet....twaomba kama mtu ukitaka kuongeza bundle ....uweze sio mpk uliweka imalizike....then kama kuna credit ktk line na inatumika bila kujua..nawakilisha >!!
if you're using one of the torrent- downloader software, as a downloader, you're basically a "leecher". after you've downloaded the file, and leave it on, this becomes available for other users to download (thus "sharing" occurs), you are basically a seeder. so normally, having many seeders for...
nimefurahiz sana kwa huyu mama kwa kuona hilo..!! kwani hii ni njia tuu ya mafisadi kuiba hela....!!
kwa kweli sijui....tunaenda watu..!! source BUNGENI DODOMA LIVE NOW>>!
mwanzo ilikuwa inakubali na kusema cant get out of hibbenation..........solution update bios....but i tried to download n updates./...ckufanikiwa....lakini kweli ngoja nijaribu kuchek vga asante mzee kwa idea....hivi hapa mjini toshiba hawana technical support.../technician??????????????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.